Mwanzo

Karibu Kwenye Kamusi Elezo ya Kiswahili
Karibu kwenye Wikipedia ya Kiswahili!

Wikipedia ni mradi wa kuandika kamusi elezo kamili na sahihi ya maandishi huru.

Kila mtu anaweza kuhariri makala yoyote, kutoa makosa ya lugha, kutohoa maneno na kuendeleza na kukuza makala, kwa kuandika kwa ufupi au kwa urefu. Angalia Msaada wa kuanzisha makala ili ujifunze unavyoweza kuhariri au kusanifisha ukurasa. Usisite kushiriki; kwa sababu huu ni mradi wa ushirikiano, na hautaisha kamwe. Kamusi elezo itaimarika vizuri zaidi kila wakati. Angalia ukurasa wa jumuia, ukurasa wa jamii, na ule wa makala za msingi za kamusi elezo ili kung'amua unaweza kufanya kazi zipi ili kuboresha Wikipedia.

Leo ni tarehe 24/07/2008, na mpaka sasa tuna makala 7,333 katika kamusi elezo hii.

• Miradi inayoshirikiana

Meta-Wikipedia - Wikidondoa - Wikivitabu - Wikichuo - Wikihabari - Wikikamusi

KAMUSI ELEZO

•Makala maalum:

Robert Mugabe

Rais Robert Mugabe
Rais Robert Mugabe

Robert Gabriel Mugabe (* 21 Februari 1924) amekuwa kiongozi wa Zimbabwe tangu 1980. Yeye ni mwenyekiti wa chama tawala cha ZANU. 1980 alikuwa waziri mkuu na 1987 rais wa nchi. Kabla ya wakati ule aliongoza upinzani wa ZANU dhidi ya serikali ya walowezi Waingereza nchini waliofuata siasa ya ubaguzi wa rangi.

Mugabe alirudiwa katika uchaguzi mbalimbali. Tangu mwaka 2000 uchaguzi hizi zimekuwa mashakani kutokana na matishio na matumizi ya mabavu dhidi ya wapinzani. Utawala wa Mugabe umeitwa wa kidikteta tangu mwaka 2002. Kutokana na mashataka dhidi ya serikali ya Mugabe ya kudharau haki za binadamu nchi Zimbabwe ilisimamishwa ndani ya Jumuiya ya Madola. Mugabe pamoja na mawaziri wake na viongozi wa chama chake hawaruhusiwi kusafiri kwenda nchi za Umoja wa Ulaya na Marekani.

Mwanzoni wa utawala wake Mugabe alisifiwa kujenga uchumi na sera ya elimu nchini. Zimbabwe ilikuwa nchi iliyouza vyakula vingi nje. Tangu mwanzo wa milenia mpya pamoja na mashtaki ya udikteta hali ya uchumi ulirudi nyuma. Takriban milioni mbili za raia wa Zimbabwe wameondoka nchini wakikaa kama wakimbizi Afrika Kusini.

Mugabe ametangazwa upya na chama cha ZANU kama mgombea wa urais katika uchaguzi wa 2008.

•Ujenzi

Ujenzi - Usanifu -

•Usanii

Fasihi - Ushairi - Bombwe - Ngoma - Uchoraji-

•Lugha + Isimu

Kiswahili - Sheng - Lugha za Kibantu - Kiingereza - Lugha za Kirumi - Kiesperanto -

•Jiografia + Historia

Mmomonyoko - Afrika - Shaka Zulu - Mapigano ya Adowa - Reli ya Uganda - Madola -

•Sayansi + Teknolojia

Akiolojia - Falaki - Biolojia - Kemia - Fizikia - Tiba - Elimu - Lugha - Hisabati - Sayansi - Teknolojia

•Jumuiya

Sheria - Siasa - Dini - Utabiri wa nyota

Wikipedia kwa lugha nyingine


Miradi inayoshirikiana
Kamusi elezo ya Wiki ni kamusi elezo huru iliyo chini ya Shirika Lisilo la Kiserikali la Wikimedia Foundation, ambalo linasimamia miradi mingine mbalimbali ambayo imeorodheshwa hapo chini:
Wiktionary
Kamusi na Tesauri
Wikibooks
Vitabu vya bure na Miongozo ya kufundishia
Wikiquote
Mkusanyiko wa nukuu
Wikisource
Nyaraka huru na za bure
Wikispecies
Directory of species
Wikinews
Habari huru na bure
Commons
Shared media repository
Meta-Wiki
Wikimedia project coordination

wymiana linkami SEO Tools wymiana linkami
kreatyna
kreatyna
www.activebody.pl
Gry Online
Gry Online
www.pozycjonarka.in…
Plaza 3 star hotel Los Angeles

www.triptake.com
krynica noclegi
krynica noclegi,oÅ›rodek, wypoczynk…
gornik.com.pl
Kredyty odnawialne
Kredyty odnawialne
www.eskarbiec.pl