Kamusi elezo ni kitabu kinachokusanya ujuzi wote wa ubinadamu. Siku hizi, Wikipedia ni kamusi elezo kubwa zaidi duniani. Zamani (kabla ya uumbaji wa Wikipedia) Encyclopedia Britannica ilikuwa kamusi elezo kubwa zaidi duniani.
Makala hiyo kuhusu "Kamusi elezo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".
Ikiwepo makala kuhusu Kamusi elezo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.